Total Pageviews

Thursday 24 December 2015

Andika chochote kuhusu tatizo la simu yako na utajibiwa kiutaramu na wataramu wetu wanaojua kila kitu kuhusu simu za mkononi na tables.

Monday 7 December 2015

SIMU YANGU YAJIWASHA NA KUJIZIMA YENYEWE.

Nikiwa naiwasha simu yangu inachukuwa muda mwingi kuwaka alafu yabidi niisubili kwa muda ndipo nione applications zangu ila kabla haijaonyesha applications zangu simu hujizima na kujiwasha tena yenyewe. Huwa yajiludia hadi battery yangu inaisha, nimejaribu njia zote za mawazo ya kawaida ila imeshindikana, Je nifanyeje? Help me guys.

Thursday 26 November 2015


ELECTRONICS MONEY ( Tigo pesa, Mpesa, Airtell money)

Je wajua umuhimu wa kuanzisha au kutoa huduma ya electronics money, huduma ya kibenk kwenye simu yako. Hapa tutakujuza faida na hasara za electronics money kwa yule ambaye tayari anatoa huduma hiyo na kwa yule aliyepanga kuanza kutoa huduma kama hiyo kwa watanzania.

FAIDA ( ADVANTAGES)
  • kuongeza kipato (profit) kwa kupitia commission kutoka kwa makampuni ya simu kwa kutokana na jinsi unavyotoa huduma kwa wateja, uwingi wa wateja na kiwango kikubwa cha utoaji au uwekaji ndivyo upatavyo faida zaidi.
  • kuongeza marafiki hasa wateja zako ambao wengi wao hupelekea kuwa marafiki zako na kukufanya ujue au ujifunze mengi kutoka kwao.
  • kukufanya uwe bussy kama hukuwa na kitu cha kufanya, hii husaidia hasa wale vijana au watu wanaopenda kujiajili wenyewe.
  • kuzungusha pesa yako badala ya kuiweka tu bank au kwenye simu, utakuwa unaizungusha na kukuongezea kipato kila mwisho wa mwezi.
HASARA (DISADVANTAGES)
  • Ukiwa na mzunguko mdogo wa pesa na faida yake ni ndogo pia, hii inamaana hutapata faida kubwa bali utakuwa unaishia kulipia kodi tu ya pango na nauli ya kwenda na kuludi kwako kama unaishi mbali na kwenye biashara yako.
  • Umakini wa kuhesabu pesa wakati wa kutoa pesa kwa mteja na pia uandikaji wa number wakati wa kutuma kiasi kwenye simu ya mteja as kama ukikosea basi utakuwa umeingia hasara.
  • Kama utakuwa umeajiri mtu uwe makini na kumfahamu vizuri huyo mfanyakazi wako kwani udanganyifu au wizi wa pesa uko mwingi sababu huyu uliyemuajiri atakuwa anashika kiasi cha pesa kwa muda mwingi, therefore kama si mwaminifu itakuwa rahisi kukuibia au kukudanganya.
Angalizo
  •  Wateja wengine huleta pesa bandia( fake money) ili kupata zilizo halali kutoka kwako.
  • kumbuka si wateja wote huja kwa nia njema, as wengine hutaka kujua watoa au una kiasi gani kwenye account yako na pia cash mkononi ili wakuibie.
Hazo ni baadhi tu za maelezo ya faida na hasara za electronics money yaani tigo pesa, mpesa na aitell money.

Tuesday 24 November 2015

mobile phone history

When was the first mobile phone invented?

Mobile phones, particularly the smartphones that have become our inseparable companions today, are relatively new.
However, the history of mobile phones goes back to 1908 when a US Patent was issued in Kentucky for a wireless telephone.
The story of the modern mobile phone really begins in the 1940s when engineers working at AT&T developed cells for mobile phone base stations.
The very first mobile phones were not really mobile phones at all. They were two-way radios that allowed people like taxi drivers and the emergency services to communicate.
Instead of relying on base stations with separate cells (and the signal being passed from one cell to another), the first mobile phone networks involved one very powerful base station covering a much wider area.
These early mobile phones are often referred to as 0G mobile phones, or Zero Generation mobile phones. Most phones today rely on 3G or 4G mobile technology.
Compare all the latest mobile phones at uSwitch now.

The development of mobile phone technology

mobile phone facts
Motorola employee called Martin Cooper is widely considered to be a key player in the history of mobile phones, inventing the first mobile phone that was fit for practical use.
Handsets that could be used in a vehicle had been developed prior to Martin Cooper’s phone, but his was the first usable truly portable mobile telephone.
Cooper made mobile phone history in April 1973 when he made the first ever call on a handheld mobile phone.

Landmarks in early mobile phone history

  • Japan became the first country to have a city-wide commercial cellular mobile phone network in 1979.
  • The Nordic Mobile Telephone (NMT) system launched in Denmark, Norway, Sweden and Finland in 1981.
  • The next major step in mobile phone history was in the mid-eighties with theFirst Generation (1G) fully automatic cellular networks were introduced.
  • The first ever mobile phone to be approved by the FCC (Federal Communications Commission) in the USA was the Motorola DynaTac in 1983.

Modern mobiles

mobile phones history
Mobile telephony developed in leaps and bounds over the next decade, particularly with the arrival of handover technology.
This allowed users to keep their connections as they travelled between base stations – so as a user walked from one mobile phone mast to another, the connection and conversation would not drop or be interrupted.
The birth of the Second Generation (2G) mobile phones was in Finland in 1993. It was also the year that the first SMS text messages were sent and that data services began to appear on mobile phones.
Mobiles that we use today are 3G mobiles, or Third Generation mobiles, or even more advanced 4G handsets.
3G launched in 2001 and allowed operators to offer a huge range of advanced services such as video calling and HSPA data transmission.
4G became commerically available in the UK in late 2012 and offers super fast connections and similarly speedy downloads.
Now the UK market has matured there are several network providers competing for business. These include: